In lieu of an abstract, here is a brief excerpt of the content:

AKHBAR PATEH al-Hijra sanati 600 Hahuna Sulayman bin Sulayman Mu~affar al-NabahanI, alawal al-mubdi NabahanI, m(w)andu wa-k(w)anda kuya Pate ni-Sulayman bin Sulayman bin Mu~affar NabahanI na-(n)duze wawIli, 'All bin Sulayman na 'Uthman bin Sulayman. Na-huyu Sulayman bin Sulayman al-madhklirii alokuwa sultan, naye akisa kutawall bara li-'Arabu. Akaya Pate sultan al-madhklir katika tanKh sanati 600 al-Hijra kuya k(w)ake Pate. Akataka 'arusi k(w)a-mfalume wa-Pate katika al-Batawlyln. Sultan Sulayman bin Sulayman ni-mtu ma'rufu; mfalume wa-Pate aka_muuza binti yake. Na-dasituri ya-wote ya wa-SawaJ:lili ~ata sasa mtu aku_waliyaye kijana chako, akisa sIku saba'a za-harusi henda kum(w)a(n)galia mkewe nyu(m)bani mak(w)e, baba wa-mke wake, klimpia watu. Huyu Sulayman bin Sulayman (n)diye mfalume weno aka_mpa ufalume wake alo_kuwa nao. (p. 3) Akatawali Sulayman bin [Sulayman] (n)diye mfalume. K(w)alina mlii hlt(w)a Kitoki iyo jizira ya-Pate, katika matila'i ya Pate, na-SIu hatasa_kuwa mlii. Waliko mlii mgine hlt(w)a Sha(n)ga katika matila'i ya Pate na-Fazah waliko mlii, we(n)yewe wa-Paza al-MatazI. Ikaketi mii hiyo yote, ikaketi yote ta~ati ya Sultan Sulayman bin Sulayman. Na Ma(n)dra k(w)alina mfalume mbali naiona (n)guvu sana. Akafa Sultan Sulayman bin Sulayman sanati 625 Hijra. Aka_khalifu zijana wawIli Mu~ammad na A~mad, Mu~ammad 'umri 420 MS 358 yake 'ishlrin, A~mad 'umri wake nyaka khamsata 'ashara. Akatawali Mu~ammad bin Sulayman bin Sulayman ba'ada ya babake. Ikawa khitilafu yeye na-watu wa-Sha(n)ga. Kapijana na-mii kaivu(n)da kabisa. Na-ba'a~i yao wakaya Pate, na-wa(n)gine wa-J,cabila yao Kina(n)da(n)gu wakakimbia, wasiyuwe_kane mahala wamezo_kimbilia, ~attta slku zikipita ikaya khabari k(w)a Sultan Mu~ammad bin Sulayman na~ua watu wi(n)do kuwenda wakimbia "Wale wa-Siu, tumewaona katika m(w)Itu." Sultani kapeka watu kuwa(n)galia kawadirika, wamefanya zijumba (n)dani ya m(w)itu. Sultan Mu~ammad bin Sulayman (p. 4) kawa_~ame~e kawa]udisha mahala pao. (N)diyo a~ili ya mlii wa-Siu. Wakaya na-Wasawa~ili wa(n)gIne wakaketi wote, wakaya na-WaFamau wakaketi, wakawa Wafamau (n)di wakuu wa-Siu katika ta'a ya Sultan Mu~ammad bin Sulayman. Akafa sanati 650. Akatawali (n)duye Sultan A~mad bin Sulayman, aka_amirisha sana ar~i ya Pate kaje(n)ga majumba na mashamba asipiji mahali, akafa sanati 660. Katawali kijana cha-nduye, ina lake A~mad bin Mu~ammad bin Sulayman. Akaketi na-watu k(w)a-uzu_ri sana kama sira za 'ami zake, ku'amirisha mui wa-Pate na-masha_mba ~ata sanati 700 akafa. Akakhalifu zijana wangi. Katawali kijana chake Sultan Mu~ammad bin A~mad bin Mu~ammad bin Sulayman. Akaketi na-watu k(w)a-wema sana. Watu wa-Fazah wakakhalifu, akawapija kawatia katika ta'a ba'ada ya-zita zingi ~ata alipo_washi(n)da. Ikajfutal)i na-M[andra] kaUamalaki k(w)a-zita na-khTIa k(w)ani alina (n)guvu sana sultan wa-M[andra] ya-mali na-watu, aka'ivunda kabisa. Na-watu wa(n)gine kawaeta Pate, na-ba'a~i wakatoa (n)yika wakakimbilia kula mahala, wa(n)gine wakaya Sheiah waka(n)gia katika himaya [18.218.61.16] Project MUSE (2024-04-26 02:13 GMT) TRANSCRIPTION 421 ya-watu wa-Lamiih. Sultan (p. 5) MuJ:tammad bin AJ:tmad al-madhkiir kawataka watu [wa] Lamiih, wakaiza kuwa_toa. Na-wa(n)gine wake(n)da Malindi na-ba'a~i ya-buldani. Sultan MuJ:tammad bin AJ:tmad akawa_ andama sana hao waliyo_kiiya Shelah, watu wa-Lamiih wakaiza kuwa_toa J.cata'an. Maneno hiyo kisa Sultan MuJ:tammad akafa sanati 732. Akatawali kijana chake ufalume Sultan 'Umar bin MuJ:tammad bin AJ:tmad bin MuJ:tammad bin Sulayman. Akairejea maneno ya baba-wake k(w)awatu wa-Lamiih, kawataka watu wa-Man(d)ra. Watu [wa] Liimiih wakaiza kuwa_toa, kawapija zIta, wakataka amani watu wa-Lamii, wakawa kati_ka ta'a Sultan 'Umar bin MuJ:tammad. Zikazidi (n)guvu, akapija jumla ya ml'i ya SawaJ:tTIi: Ozi, Malindi, Kiwayii, Kita_o, Miyah, Im'izii, Watamu kasikilia Kirimba. Mii yate kai_tamalaki ta(n)gu Pate J:tata Kirimba, kula mui kaweka mtu wake kuJ:tukumu. (N)diyo a~ili...

Share